Mdau akiwa ndani ya pipa ni moja ya safari zake za kitaliii
Apokelewa na usafiri mmoja matata sanaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaa
akiwa katika hotel aliyofikia basi hakusika kujiegesha kwenye ma swimming pool kama haya
Akila mitaa pande za ufukweni
Mida ya usiku ilikuwa kama kawaida yake ya kutinga viwanja
12 September 2011
17 August 2011
KWA UKARIBU KABISA.HIZI NDO APPARTMENT ZILIZO KAMILIKA
Kwa wale wanaotaka omba nyumba hizo basi waandike barua za maombi kwa mkurugenzi mtendaji wa shirika la nyumba la taifa appartment zinapaikana nyingi tu mkoani dodoma
WAKITOKA KWENYE UKAGUZI WA HIZO NYUMBA
From left ni mkurugenzi mtendaji wa Shirika la nyumba la taifa, waziri wa ardhia na makazi na watatu ni waziri mkuu mr pinda
MAKAMU WA RAHISI AMALIZA UZINDUZI WA NYUMBA ZA POLISI
Hizo nyumba zinazooneka ahapo nyumba ni nyumba mpya za polisi zipo bara bara ya kilwa ..ni Ghorofa 30 kwa ajiri ya polisi
TULENI MATUNDA WADAU
Fruits ni muhimu sana kwa afya zetu.we better remember that human body cant fabricate some vitamins like vitamic C...the only source this vitamin is fruits..........We may use some medicine like MEGANYL which contains almost all kind of vitamis which often used for the people who .relived from some malade or coma.....
11 August 2011
MDAU AKILA MITAAA KONA ZA USWAZI........
Bongo tunahitaji maendeleo zaidi maana hii hali haistaili kuwa capitali bwana...mhhhhhhhh too much but we dont have a choice
WADAU MNAONAJE HAPOOOOOOOOOOOOO..........VITU NATURAL COLOUR
Kwa hakika madada zetu wa kiafrica wananoga zaidi wanapopiga mavazi yetu ya asilia........vipodozi kidogoo uzuri ni nomaaaaaaa
10 August 2011
HATA BONGO KUMBE HAYA MAMBO YAPO BANA..........LOL
Nadhani baadhi ya ndugu zangu wananisoma kisukari sukari ninaposema kumbe haya mambo hata bongo yapo maana wao huwa yana wakumba sana kwenye nchi kadhaa kadhaaaaaaaa.sitaki kutaja jina
JOKE OF THE DAY
Utajivunia kuwa mu- Kenya
1. Umoja ni estate, utengano ni setbook
2.Mbio za marathon huishia kwa balcony
3.Cha mlevi huliwa na mututho
4.Mwenye macho hanywi chang’aa
5.Asiyekubali kushindwa atakuwa PRIME MINISTER
6.Cha mututho mwanfuu hu, na akinywa ha…
7. Cha mlevi huliwa na MAKARAO
8. Ukistaajabu ya musa, hujaskia ya ONYANCHA
9. Mpiga ngumi ukuta ni SONKO
10.Usipo ziba ufa watu watakuchungulia
11. Mwenye nyege haambiwi tazama
12.Mgema akisifiwa mututho huingilia kati
13.Kidole kimoja ni jina ya church ya HELLON
14.Asiyefunzwa na mamaye hufunzwa na google
15.Mtoto akililia wembe amechoka kuwa KIPII
1. Umoja ni estate, utengano ni setbook
2.Mbio za marathon huishia kwa balcony
3.Cha mlevi huliwa na mututho
4.Mwenye macho hanywi chang’aa
5.Asiyekubali kushindwa atakuwa PRIME MINISTER
6.Cha mututho mwanfuu hu, na akinywa ha…
7. Cha mlevi huliwa na MAKARAO
8. Ukistaajabu ya musa, hujaskia ya ONYANCHA
9. Mpiga ngumi ukuta ni SONKO
10.Usipo ziba ufa watu watakuchungulia
11. Mwenye nyege haambiwi tazama
12.Mgema akisifiwa mututho huingilia kati
13.Kidole kimoja ni jina ya church ya HELLON
14.Asiyefunzwa na mamaye hufunzwa na google
15.Mtoto akililia wembe amechoka kuwa KIPII
09 August 2011
Kwa ukaribi kabisa kwa wale wasiomjua
Unayemuona pichani ni Nelly Kamwelu,Miss Universe Tanzania 2011.Nelly ndiye atakayebeba bendera yetu akituwakilisha katika mashindano ya dunia ya Miss Universe ambayo kwa mwaka huu yatafanyikia huko Sao Paulo,Brazil ndani ya Credicard Hall kunako tarehe 12 September,2011.Tunamtakia kila la kheri Nelly katika maandalizi yake.Picha zimepigwa na Mdau kikwembo mlekwa
08 August 2011
ANNOUNCEMENT
from
ally shafi, bejaia
we would like to let you knows that only Tanzanians are allowed to buy macbook on credit through us....the rest of nationalities have to buy in cash.....for more informations call 00213556296849 or 00213561293283
thank you for your attention
ally shafi, bejaia
we would like to let you knows that only Tanzanians are allowed to buy macbook on credit through us....the rest of nationalities have to buy in cash.....for more informations call 00213556296849 or 00213561293283
thank you for your attention
07 August 2011
PICK ONE BY CASH OR ON CREDIT
Price........from 1250 euro call 00213561293283..............Ram 4 .....HDD...320
price...from 850 euro.................Ram 2 to 3GB...........HDD 250 to 320
price...from 850 euro.................Ram 2 to 3GB...........HDD 250 to 320
CHECK THE MACBOOK AIR BELOW....CALL 00213561293283 FOR MORE MAELEZO
THE MACBOOK AIR NOW ARE AVAILABLE ....PRICE..FROM 750 EURO..REMEMBER YOU MAY GET THEM BY EIIHER CASH OR ON CREDIT.....CALL 00213561293283 FOR MORE INFOR
WALAHIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIII HIYO SIKU HAIKUWA SHUGHURI NYEPESI......CAMERA ZETU ZILINYAKUA PICS KAZAAAAAAAAAAA KWA KISUKUMA
muda kadhaa kabla ya waheshimiwa kuingia kwenye kampeni...........from left....muheshimiwa kimati, profesor khamisi kidago, ahmedi, beatrice.........
muheshimiwa kimati ( General secretary akimwaga sera(
wanachama wakisikiliza kwa makini....................sera za wagombea
muheshimiwa kimati ( General secretary akimwaga sera(
wanachama wakisikiliza kwa makini....................sera za wagombea
Subscribe to:
Posts (Atom)