Utajivunia kuwa mu- Kenya
1. Umoja ni estate, utengano ni setbook
2.Mbio za marathon huishia kwa balcony
3.Cha mlevi huliwa na mututho
4.Mwenye macho hanywi chang’aa
5.Asiyekubali kushindwa atakuwa PRIME MINISTER
6.Cha mututho mwanfuu hu, na akinywa ha…
7. Cha mlevi huliwa na MAKARAO
8. Ukistaajabu ya musa, hujaskia ya ONYANCHA
9. Mpiga ngumi ukuta ni SONKO
10.Usipo ziba ufa watu watakuchungulia
11. Mwenye nyege haambiwi tazama
12.Mgema akisifiwa mututho huingilia kati
13.Kidole kimoja ni jina ya church ya HELLON
14.Asiyefunzwa na mamaye hufunzwa na google
15.Mtoto akililia wembe amechoka kuwa KIPII
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
No comments:
Post a Comment