09 August 2011

Kwa ukaribi kabisa kwa wale wasiomjua

Unayemuona pichani ni Nelly Kamwelu,Miss Universe Tanzania 2011.Nelly ndiye atakayebeba bendera yetu akituwakilisha katika mashindano ya dunia ya Miss Universe ambayo kwa mwaka huu yatafanyikia huko Sao Paulo,Brazil ndani ya Credicard Hall kunako tarehe 12 September,2011.Tunamtakia kila la kheri Nelly katika maandalizi yake.Picha zimepigwa na Mdau kikwembo mlekwa

No comments: